Thursday, October 25, 2007

sasa sijui nifanyejeee

Yaani hata siamini hawa kina Kabanda wanachofanya.....
sasa sijui tufanyeje hesabu zooote zimekwisha, halafu hawa jamaa wako kumi tu uwanja sisi tuko kumi na mmoj

a sasa itakuwa fedheha hii Siwa yaani hiii sijapata kuona. Au tumuingize Sunguti labda. mambo yamechafuka halafu zimebaki dakika kama tano tu.

No comments: