Friday, October 12, 2007

huyo ndiyo shetani wa Temba bwana.nomaaaaaaaaaaa

Wimbo: Mwaka wa Shetani
Msanii: Mh.Temba ft Juma Jazz
Studio: Bongo Records


Intro: Shetani shindwa kabisaaa

Verse: 1
(Temba)Tarehe moja mwezi kwanza mwaka nimesahauhuu mwaka nauita Baba, ni mwaka wa Shetani ndani ya fani ya burudanishetani x2
Akupenda maendeleo aliwagombanisha wenye vyeo na wasio na vyeo Ni historia isiyofutika kwa makundi mengi kuvunjika GangweX2Gangwe Mob ilikufa sasa imerudi, amjapatanishwa mnapatanawakati kimoyomoyo mnachukiana mii naona aina maana kwa matarudiayale yale ya mwaka wa jana,Parklane, Tng Tanga ndio kwao walipiga bao saa shetanikawageukia wao, kuna nani Tanga au kuna mwangahii siri natoboa ujue ushajiwekea doa, Gheto Boys uliongoza wewe,Watu Pori uliongoza ukaongoza wewe,tatizo nani wao au wewe

DAZ (Manunda) maji ya shingo waliimba waokamanda waliimba wao ni nyimbo za majonziziliwatoa watu machozi leo vipi mmoja wenu mnamtoa chozi Ambako amjatengana anzeni kusali leo shetani anawamega waoVichwa wanaumiza wazenji wanajiulizamlitaka kuwa naesasa tena hampo nae mmemtenga mmejitenga?
Tubery vipi, Wakali kwanza ndiyo kwanza mlikuwa mnaanzatatizo nini au kuna jini,hapo mjiniHBC kila mwaka itarudi itarudi hata Yesu alisema atarudiatarudi mpaka leo ajarudi, au mnafanya makusudimacho yangu yanaona mbali mpaka chini ya bahariMaster J na Majani hivi ni kweli hampatani au ni storiza mtaani tumtafute mchawi nanii haa

Chorus:(Juma Jazz)
Mkorofi naniiNani alaumiwee hee heemwaka wa shetaniiii
Nanii alaumiwee hee hee
Akilini mwangu mii nawazanakumbuka wapi tulipotokampaka leo tunavunjikaa


Verse 2(Temba)GWM, Gangwe, Manduli, Manyema, Wachuja Nafaka, Wanaumee (heee)Wenyewe kwa wenyewe wapinzani marasi hawagombani siku zote wanaomba amaniTMK ilianza kwa mara ya kwanza ilizaliwa mwanza mii nasimuliwa lakinisikuwepo waliniadisia wenyewe wahasisi ambao wengine wamegeuka kamamafisi,Mii wakati huo natoka jeshini nkawafuata washikaji nkawahambia naselahee(heee)Wanaume hee (heee)washikaji hee (heee)nkawahambia naombeni namba wakaniaambia huu msafara wa mamba mii mwenyemamba, wakaniambia utaweza ntawahambia jeshi nimeweza ntashindwa hapakuchezaa,Basi tukaungana tukaendeleza mapambano yasiyokuwa na mfano tnk raisalitupenda nchi nzima walitupenda kwa kuwa kulikuwa akuna timu ya kurembanii kutoka chata ni shoka wengine walishindwa wakatoka,
Sijui nini kilitokea au shetani "sijuii"au mibange "sijuiii"
labda mademu "sijuii"Ghafla nkashangaa magazeti yanahandikaa oooh TMK imevunjika ooh TMKimesambatikaa, oooh TMK kunapatashika,Mliambiwa na nani kweli huu mwaka wa shetani mpaka leo ajulikani mkorofinanii,TMK haijafa TMK kama daladala akishuka mtu anapand mtu kikitoka kitu8kinahingia kitu checheki hiki kituu,Umoja ni nguvu na hapa tumekula yamini tulajiamini TMK siku tunafukiwachini aminiii

.Chorus:(Juma Jazz)
Mkorofi naniiNani alaumiwee hee heemwaka wa shetaniiii
Nanii alaumiwee hee hee
Akilini mwangu mii nawazanakumbuka wapi tulipotokampaka leo tunavunjikaa

Intro:Haa haa kwishaa kabisa amniwezi

Ntawavuruga vuruga wotena huo mziki wenu wa bongoflevamtarudi mtaani sijui mtaenda kuwa vibakahaa haa...

Chorus:(Juma Jazz)

Mkorofi nanii

Nani alaumiwee hee heemwaka wa shetaniiii

Nanii alaumiwee hee hee

Akilini mwangu mii nawazanakumbuka wapi tulipotokampaka leo tunavunjikaa

Autro: Mkorofi nanii(shetanii)

Mwaka wa Shetanii(Shetanii)

No comments: