
TOTTENHAM Hotspur imemteua mshambuliaji wa zamani, Clive Allen kuwa kocha wake wa muda baada ya kumtimua Martin Jol muda mfupi baada ya timu hiyo kufungwa mabao 2-1 na Getafe katika mechi ya Kombe la Uefa juzi usiku.Allen atakuwa na kibarua cha kwanza kesho atakapoiongoza Spurs kuvaana na Blackburn Rovers, ambayo kwa sasa inafanya vizuri.
No comments:
Post a Comment