Saturday, October 27, 2007

Fanyeni fasta ujue mi dakika zangu zinahesabika



TOTTENHAM Hotspur imemteua mshambuliaji wa zamani, Clive Allen kuwa kocha wake wa muda baada ya kumtimua Martin Jol muda mfupi baada ya timu hiyo kufungwa mabao 2-1 na Getafe katika mechi ya Kombe la Uefa juzi usiku.Allen atakuwa na kibarua cha kwanza kesho atakapoiongoza Spurs kuvaana na Blackburn Rovers, ambayo kwa sasa inafanya vizuri.

No comments: