Friday, October 26, 2007

Maximo huyo Nsajigwa katoroka kempu


Maximo itabidi umpe displini huyu chalii


WACHEZAJI wanne wa Yanga wametoroka kambini huku uongozi ukilaumu wachezaji kuwa walicheza chini ya kiwango na kusababisha timu kuendeleza uteja kwa Simba.

Wachezaji hao, waliotoroka kambini mara baada ya Yanga kufungwa bao 1-0, ni kipa Ivo Mapunda, Shadrack Nsajigwa, Amir Maftah na Benny Mwalala.

Mwenyekiti wa Yanga, Imani Madega alisema jana kuwa uongozi hautakimbilia kuwachukulia hatua hadi hapo utakapokutana nao na kuwasikiliza.

No comments: