Thursday, October 18, 2007

Babu Grant si ajiuzulu tuuuuuu!

Sasa mshikaji wangu Grant......................!

UEFA wamemwondoa benchi kwa vile hana ganda(kibali), timu inaboronga.., wachezaji hawamtaki wanadai anafundisha kama ndondo za Manzese, umri umekwenda wewee.... sasa kwanini usimuachie Ten Cate tu.

Dingi yake huyo Grant unajua anasemaje? msikie..."Kumekuwa na mambo ya ajabu, watu wanapoingia uwanjani huwa wanaimba nyimbo za kumsifia Mourinho kitu kinachoonyesha kwamba Grant hakubaliki."

Mchezaji mmoja ambaye alikuwa ameshikilia viepe vyake na Bavaria yake alipomuona Mwandishi akamwambia hivi: Grant hana sifa ya kufundisha timu kubwa kama hii, tutakapocheza na timu kubwa tutakuwa tukifungwa kwa sababu yake, hana ujuzi wa kutosha,"
........... Simo.. umewaskia mwenyewe.

No comments: