Friday, February 1, 2008

Fabio Capello ambania Beckam


KOCHA wa England, Fabio Capello amempiga chini
David Beckam kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya
Switzerland jumatano ijayo. Mashabiki wengi wa nchi hiyo wamekuwa wakimtaka Capello anayepuuza mambo na kushikilia misimamo yake, kumpa nafasi Beckam ili atimize mechi yake ya 100.
"Nimemshauri kwamba yeye ni sehemu ya mikakati yangu na atakapocheza vizuri zaidi Marekani nitamuita,"alisisitiza Capello mwenye miaka 61.

No comments: