Sunday, February 17, 2008

Miembeni,Chipukizi mdebwedo kabisa


KOCHA wa zamani wa timu ya taifa ya Afrika Kusini na klabu ya Simba, Trott Moloto ametua nchini akiwa na kikosi cha Mamelodi Sundowns ambayo imeifunga Miembeni ya Zanzibar(pichani) 1-0 katika mechi ya awali ya Ligi ya Mabingwa kwenye uwanja wa Amaan jana jumamosi.

Kwenye kombe la Shirikisho Bufallo ya Zambia imeifunga Chipukizi ya Pemba mabao 5-0. This is too much aiseee 5-0? Ndio kwisha kazi tena.

No comments: