Simba jana ilianza mambo kwenye Ligi ya mabingwa baada ya kuipiga Awassa ya Ethiopia mabao 3-0 kwenye uwanja wa Taifa. Moses Odhiambo kapiga mbili na Ulimboka Mwakigwe moja.
Yanga iliyokuwa Madagascar ikikipiga na As Adema, ilifungwa 1-0 huku ikicheza kwenye mvua kubwa.
No comments:
Post a Comment