Thursday, February 21, 2008

Aisee.. sijapata kuona hii


Rais Jakaya Kikwete,Makamu wa Rais, Mohamed Shein na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakishangaa jambo wakati walipokuwa kwenye uwanja wa ndege juzi wakimuaga Rais Bush aliyekuwa na ziara ya siku nne hapa nchini.

No comments: