Sunday, February 17, 2008

Huendi mahali sisi ndio Ashanti Utd


"Sisi ndio watoto wa Jiji bwana, mwaka jana simlisema hivyo hivyo tutashuka sisi hatushuki daraja tunazidi kupeta tu mwendo ule ule na wachezaji tutauza kama kawa,"alisema Msafiri Mgoyi ambaye ni rais wa Ashanti United alipozungumza na waandishi wa Blog hii.

Ashanti ina pointi 18 tu na ni miongoni mwa timu nne zinazopewa nafasi kubwa ya kushuka daraja. Nyingine ni Polisi Dodoma, Manyema na Pan Africa ya Kariakoo.


No comments: