Thursday, February 21, 2008

Kikosi cha Mizinga chaanza kutisha


Kundi la Kikosi cha Mizinga cha Jijini Dar es Salaam limeanza kampeni ya kupambana na madawa ya kulevya kwa wasanii wa muziki huo kupitia maonyesho maalum yatakayofanyika kwenye ufukwe wa Coco Beach jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu Kalapina ambaye ni kiongozi wa kundi hilo shoo ya kwanza itafanyika keshokutwa jumapili na wasanii kibao akiwemo Rado watawapiga tafu.

No comments: