Sunday, February 17, 2008

Fabregas haondoki tena milele


LONDON, Englan

KIUNGO Cesc Fabregas ameingia mkataba mnono wa pauni milioni 33 (Sh bilioni 75) utakaomfanya kuwa moja ya mchezaji anayelipwa zaidi katika historia ya klabu ya Arsenal. Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger amemtaka kiungo huyo wa Hispania ajitie kitanzi cha kuichezea klabu hiyo hadi 2016 kwa kuongeza miaka miwili katika mkataba wake wa sasa. Fabregas ambaye alikuwa akilipwa pauni 50,000 kwa wiki sasa atalipwa pauni 80,000 kwa wiki. (Pauni 80,000 ni sawa na Sh milioni 180)

No comments: