Saturday, February 16, 2008

Anelka aibeza Arsenal


Nicolas Anelka amesema: Sisi hatuogopi maneno ya watu, bado Chelsea ina nafasi ya kusonga mbele na kutwaa ubingwa wa England na makombe mengine yote tunayowania."

"Hatuna wasiwasi na upinzani uliopo, sisi jukumu letu ni kushinda na kuwafurahisha mashabiki,"alisema Anelka jana.

Anelka alijiunga na Chelsea hivikaribuni akitokea Bolton.

No comments: