Wednesday, January 30, 2008

Lampard bado aendelea kusugua benchi Chelsea

Hali ya Kiungo wa Chelsea Frank Lampard bado haijatengamaa na huenda akakaa nje wiki mbili na atakosa mechi ya leo ya Ligi Kuu dhidi ya Readings kutokana na majeraha yanayomkabili. Mbali na mchezaji huyo hata Shevshenko na John Terry ni majeruhi.

No comments: