Wednesday, January 30, 2008

Sisi ndio yanga bwana..tunatisha


Yanga imefikisha pointi 24 katika msimamo wa Ligi sawa na Prisons inayoshikilia usukani. Lakini vijana hao wa jangwani wamedai kuitoa Prisons kileleni ni kazi ndogo na itaanza ijumaa hii dhidi ya Coast Union.

No comments: