Wednesday, January 30, 2008

Sasa sikilizieni makamuzi yangu


Ally Choki ambaye ameitosa Twanga Pepeta International na kuibukia zake TOT Plus ameibuka na kusema kuwa anakuja na madude manne mapya ya kufa mtu na kila mtu atabloo.

Choki ambaye sasa yupo zake mitaa ya Tabora kwenye ziara na bendi yake mpya amemhakikishia Mzee wa Kutibua ambaye ni mpenzi wa dansi kwamba muda si mrefu atavunja ukimya na kila mtu atashika mdomo.

No comments: