Tuesday, January 29, 2008

Nataka Stars hii iwe juu sana




''Nimwachanganya kikosi changu kina wazoefu wachache na vijana wengi lakini nimefanya hivi ili hawa wenye uzoefu waweze kuwaongoza hawa vijana, lakini wanatakiwa kuonyesha uwezo wao uwanjani ili waweze kudumu kwenye kikosi cha Stars" alisema Maximo alivyotaja kikosi chake kipya jana kwa ajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi Februari 6.
Makipa -Ally Mustapha Simba , Farouk Ramadhan Shaaban Dihile JKT Ruvu.
Mabeki- Amir Maftah Nadil Haroub 'Cannovaro' (Yanga ) Said Swed (Simba) Meshack Abel, Salum Swed (Mtibwa) Salvatory Mtebe (Atraco) Erasto Nyoni (Vital o) Dennis Mukebezi (Coastal Union) na Stephano Mwasika (Prisons).
Viungo-Abdi Kassim, Athumani Idd, Castory Mumbala (Yanga) Ulimboka Mwakingwe Haruna Moshi na Henry Joseph (Simba) Shaaban Ndity na Kigi Makasi (Mtibwa Sugar) na Nizar Khalifan (Kuwait).
Washambuliji -Danny Mrwanda (Kuwait) Jerry Tegete na Vicent Barnabas, Yanga Athuman Machupa (Simba) na Uhuru Suleiman Coastal Union.

No comments: