Friday, December 7, 2007

Simba eti nayo 'Uwanjaless' from 1936?


Ndio mnataka kuwa mabingwa wa Afrika hata uwanja hamna? Dalali are you siriazi? Simba bado inahaha kutafuta uwanja wa kufanyia mazoezi baada ya, ule wa Tanganyika Peckers kutumiwa na timu ya Taifa ya Wanawake 'Twiga Star'.


Simba ilikuwa ikitumia uwanja wa Tanganyika Peckers uliopo Kawe jijini Dar es Salaam kabla ya kwenda Zanzibar katika mechi za kujipima nguvu ambapo waliporejea walikuta Twiga wameshawarithi.

No comments: