Friday, December 7, 2007

msafara wa JK wapata ajali



MSAFARA wa Rais Jakaya Kikwete umepata ajali Wilayani Kisarawe mkoani Pwani. Ajali hiyo ilitokea jana na kuhusisha magari matatu yalikuwa kwenye msafara huo.

Katibu Tawala Msaidizi mkoani Pwani, Yusuph Matumbo alisema katika jali hiyo hakuna aliyejeruhiwa vibaya bali wengi waliokuwemo ndani ya magari hayo walipata mshituko tu uliosbabisha kupata maumivu ya kichwa.

No comments: