Thursday, December 6, 2007

Jamani jamaa wanatuibia kichizi


Msanii wa Bongofleva Q-Chilla akifafanua jambo kwa waandishi wa habari hapo katikati ya Jiji la Bongo, jamaa anadai Wakenya wanawaibia kichizi nyimbo zao na kuuza kama Ringtone.

No comments: