Tuesday, January 29, 2008

Twiga watagoma tena au?


Shilingi mil. 7.5 zimetolewa na Benki ya Barclays kwa ajili ya kuisaidia Twiga Stars kwa maandalizi ya mchezo dhidi ya Cameroon wa utakaochezwa mwezi ujao kuwania tiketi ya kucheza fainali za Mataifa ya Afrika.

Wasiwasi wa Mzee wa Kutbua msije mkagoma tena mkifikiri ni za mgawo...!

No comments: