Tuesday, January 29, 2008

Shughuli iliyomleta ulimboka stars


"Hii najipinda halafu naizungusha, nachomoka hivi, mi ndio ulimboka bwana ukisikia mwingine ni photocopy."
Jamaa anasemaje unajua: Nimefurahi sana, huu ndio wakati wangu wa kuonyesha mambo adimu .

No comments: