Tuesday, January 29, 2008

Nyagawa alivyozamisha kitu langoni


Kiungo mshambuliaji wa Simba Nico Nyagawa alipomtoka, kipa wa Coast Union Ismail Suma na kupiga kitu nyavuni na kuandika bao la kwanza kwa wekundu wa Msimbazi hapo Taifa. Simba ilishinda 2-1.

No comments: