Monday, November 26, 2007

Nyie ni watu muhimu sana ingawa mlikuwa mnaniua mida fulani


Nahodha mstaafu wa Taifa Stars, Mecky Maxime akiaga waandishi wa michezo katika mechi maalum ya kumuaga iliyoandaliwa na TFF siku fulani zilizopita. Jamaa alifunika kinoma, haijapata kutokea Bongo

No comments: