Monday, November 26, 2007

Ayaa..! Anaanguka hata boli haijafika


Kipa wa timu ya Wanawake wa Zanzibar, Zanzibar Heroes iliyopigwa bao 17-0 na Twiga Stars kwenye uwanja wa Taifa wa zamani wenye nyasi bandia. Hawa mademu walikiona cha moto, eti kocha anadai uwanja umewazingua eti halafu walilala kwenye jahazi.

No comments: