KOCHA wa zamani wa timu ya taifa ya Afrika Kusini na klabu ya Simba, Trott Moloto ametua nchini akiwa na kikosi cha Mamelodi Sundowns ambayo imeifunga Miembeni ya Zanzibar(pichani) 1-0 katika mechi ya awali ya Ligi ya Mabingwa kwenye uwanja wa Amaan jana jumamosi.
Kwenye kombe la Shirikisho Bufallo ya Zambia imeifunga Chipukizi ya Pemba mabao 5-0. This is too much aiseee 5-0? Ndio kwisha kazi tena.
No comments:
Post a Comment