Kitendo cha mashabiki wa Simba, kumtukana kocha wao msaidizi Jamhuri Kihwelu 'Julio' kilimkera bosi huyo na kuamua kuzikunja baada ya kumalizika kwa mechi dhidi ya mechi wiki iliyopita ambayo matokeo yake yalikuwa suluhu.
Julio(anayetoa lekcha hapo) aliwachenjia mashabiki huku akissisitiza " Najiuzulu nakuachieni timu yenu, hamuwezi kuniletea mambo ya kipuuzi nitakuachieni huyo mzungu wenu...haiwezekani najiuzulu nasema"
No comments:
Post a Comment