Rais Jakaya Kikwete,Makamu wa Rais, Mohamed Shein na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakishangaa jambo wakati walipokuwa kwenye uwanja wa ndege juzi wakimuaga Rais Bush aliyekuwa na ziara ya siku nne hapa nchini.
Jina ni Mzee wa Kutibua unalijua nadhani, ni mkubwa kuliko wewe, kaenda egi kichizi,Bontawni kitambo 1970 mitaa ya januari enzi hizo hata rodi hamna watu wanapiga zao misele tu kimtindo wanakatiza katiza tu kwenye uchochoro, ...watu tulikuwa tunapiga mguu kutoka Bunju mpaka Samora, mishemishe zikiisha tunakula guu Nyerere Rodi tunaibukia Ilala,Jangwani nduki....!Vitu vingine nshafogeti si unajua eji ikienda tena mambo fulani yanaevaporeti kimtindo. Lakini haina noma mbona...tupo ndani ya Jiji bado tukipambana na laifu na vijana wa sikuhizi wa Saa ya Inzi na Teke la Gia. Tunakwama kwama hapa na pale kiswahili cha vijana wa siku hizi unajua tena, mambo yanakuwa tafu inabidi tuthungumzye kingretha tu japo na chenye kinaweza kikamiksiwa na Kilatini mara moja moja.
songi za enzi zile wale mabwana walizokuwa wakitufundisha ilikuwa ni soo yaani kilatini tupu. Asikudanganye mtu nilikuwa nabonyeeeeeza kinanda ni noma. Mpaka doremiza faso ikubali si mchezo.. Chachi kama kichuguu bati zimeezekwa altareni tu,
.Bilzi yetu ilikuwa mitaa ya Kivule, Enzi hizo Raizoni, Pecosi ndio usiseme.
No comments:
Post a Comment