Athuman Iddi wa Yanga alipogongana na mchezaji wa Ashanti na kuumia vibaya kwenye mechi ya kwanza mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Bara. Hakukuwa na watu wa huduma ya kwanza kwenye uwanja wa Taifa siku hiyo na ililazimika mchezaji wa Ashanti kukimbizwa hospitali kwa gari binafsi ya shabiki mmoja. TFF why....kwaniniiiiiiii?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment