sasa sijui tufanyeje hesabu zooote zimekwisha, halafu hawa jamaa wako kumi tu uwanja sisi tuko kumi na mmoj
a sasa itakuwa fedheha hii Siwa yaani hiii sijapata kuona. Au tumuingize Sunguti labda. mambo yamechafuka halafu zimebaki dakika kama tano tu.
No comments:
Post a Comment