Huyu hapa cooper
Mchekeshaji maarufu duniani, Mark Curry ambayeamejipatia umaarufu mkubwa katika kipindi cha Hanging with Mr Cooper atawasili jijini Oktoba 17 tayari kwa onyesho lake la kwanza Tanzania lililopangwa kufanyika kwenye ukumbi mdogo wa Diamond Jubilee (VIP) Oktoba 19.
Monday, October 15, 2007
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment